Maelezo ya Chini
d Toleo letu la Desemba 15, 1981, lilizungumza 2 Wathesalonike 3:14, 15 (NW) ambapo Biblia inasema kwamba huenda kukawa na uhitaji mkubwa wa ‘kumtia alama’ Mkristo anayejikaza azidi kufuata mwenendo wa kukosa utaratibu. Bado yeye ni ndugu ua anapaswa aonywe kwa upole kama ndugu, lakini Wakristo wale wengine wanapaswa ‘waache kushirikiana na yeye’. Ikiwa wanapaswa kuepuka ushirika wa kirafiki pamoja na huyo, kunapasa kuwe na mtengano mkubwa zaidi katika visa vya wakosaji waliotengwa au waliojitenga wenyewe na ushirika.