Maelezo ya Chini
b Zoea la kugusa sehemu za siri za mwili kwa tamaa ya kufanya ngono, lasemekana, na wengine wenye maarifa, kuwa kisababishaji kimoja kikuu cha kuvunjika kwa uchumba. Uchunguzi unaonyesha kwamba angaa mmoja kati ya kila uchumba tatu mwishowe hauwi ndoa.