Maelezo ya Chini
b Kwa mapendekezo halisi juu ya mazungumzo ya namna hiyo, ona kitabu Kufanya Maisha ya Jamaa Yako Yawe Yenye Furaha, kur. 122-124, pamoja na makala “Baba Aongea na Watoto Wake wa Kiume,” na “Mama Aongea na Binti Zake,” zilizotokea katika Amkeni! ya Machi 1977 na Aprili 1977.