Maelezo ya Chini
e Yesu Kristo alitabiri kwamba angemweka huyo “mtumwa mwaminifu mwenye akili’’ juu ya vitu vyake vyote ili atoe chakula cha kiroho kwa wafuasi wake. Mambo ya hakika yaliyotangulia kuonyeshwa yanathibitisha kwamba “mtumwa” huyo ni jamii na anashirikiana na mashahidi Wakristo wa Yehova.—Mathayo 24:45-47.