Maelezo ya Chini
a Athenagorasi mwenye kudai kuwa Mkristo aliandika hivi wapata mwaka 175 W.K.: “Utaona wengi kati yetu, wanaume na wanawake pia, wakizeeka bila kufunga ndoa, kwa tumaini la kuishi katika ushirika wa karibu zaidi na Mungu.”—A Plea for the Christians, sura ya 33.