Maelezo ya Chini
a Mashahidi wa Yehova wanapata msaada mkubwa katika vitabu viwili vya kusaidia kujifunza Biblia ambavyo vinazungumza Ufunuo mstari kwa mstari, yaani, “Babylon the Great Has Fallen!” God’s Kingdom Rules’. (1963) na “Then Is Finished the Mystery of God” (1969). Vyote viwili vinapatikana kwa wachapishaji wa gazeti hili.