Maelezo ya Chini
a Katika Mwanzo 14:1, angalia maneno ya cheo yanayosema “Tidali mfalme wa Goimu.” (The Holy Scriptures [1952], The Jewish Publication Society of America) Biblia ya Authorized Version inayatafsiri hivi: “Tidali mfalme wa mataifa.” Ili kuona matumizi ya neno Goimu, ona pia Mwanzo 14:9, Union Version; Yoshua 12:23, NW. Angalia pia The Jerusalem Bible.
Wewe Unaweza Kujibu?
◻ Ni kitu gani kilichoonekana kama kimekoma wakati Yerusalemu wa kidunia ulipotekwa na Wayahudi mwaka wa 1967, lakini je! tukio hilo lilimaliza ‘kukanyagwa-kanyagwa’kwa “Yerusalemu”na Mataifa?
◻ “Nyakati za Mataifa” zilianza lini, na kwa tukio gani?
◻ Inathibitishwaje kwamba Nyakati za Mataifa zingeendelea kwa miaka 2,520, au mpaka mwaka wa 1914 W.K.?
◻ Ni nini kinachofananishwa na ule mti wenye kupanuka sana unaotajwa na unabii wa Danieli, na ni nini maana ya kukatwa kisha kuchipuka tena kwa mti huo?