Maelezo ya Chini
b Ni jambo la akili kukata maneno kwamba, akiwa mgeni, Samsoni alitaka tu mahali pa kulala usiku kucha, wala hakuenda kwenye nyumba ya kahaba kwa sababu zisizo za adili. Masimulizi yanasema kwamba “akalala hata usiku wa manane” wala hayasemi kwamba “akalala na mwanamke huyo mpaka usiku wa manane.”