Maelezo ya Chini
b Ingawa neno la Kiebrania ‘oh·lam limetafsiriwa na wengine kuwa “milele,” kulingana na mjuzi Mwebrania William Gesenius, linamaanisha “wakati uliofichwa, yaani, usiojulikana wazi na mrefu, ambao mwanzo wake wala mwisho wake si hakika na haujulikani waziwazi.” Kamusi inayoitwa Nelson’s Expository Dictionary of the Old Testament inaongeza hivi: “Likiwa na kielezi ‘ad, neno hilo linaweza kumaanisha ‘mpaka kwenye wakati ujao usiojulikana.’”—Linganisha Kumbukumbu la Torati 23:3; 1 Samweli 1:22, katika tafsiri ya Biblia ya New World.