Maelezo ya Chini
b Nyakati nyingine wakati wa usingizi mwili unatoa shahawa bila mtu kutaka. Tukio hilo la asili si sawa na kupiga punyeto kwa makusudi.
Je! Unakumbuka?
◻ Mungu anaonaje makosa ya siri ambayo huenda tukawa tunajitahidi kuyaacha?
◻ Ni mashauri gani ya Kimaandiko yanayoonyesha kwamba kupiga punyeto kunapasa kuepukwa?
◻ Mkristo anaweza kuachaje tabia ya kupiga punyeto?
◻ Kwa kuwa Biblia hailaani kileo, kukitumia kunaweza kuwaje kosa la siri?
◻ Ni hatua gani za hekima zinazoweza kuchukuliwa katika kupambana na kosa la kibinafsi linalohusu vileo?