Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

b Wakati Vita ya Ulimwengu ya Pili ilipokuwa ikiendelea kuwaka kweli kweli, msimamizi wa Sosaiti ya Mnara wa Mlinzi alitoa hotuba yenye kichwa “Amani​—Je! Inaweza Kudumu?” akihutubia Ulimwengu Mpya wa Kitheokrasi Mkusanyiko wa Mashahidi wa Yehova siku ya Septemba 20, 1942. Humo, alionyesha kutokana na Ufunuo sura ya 17 kwamba, tofauti na vile wengi walivyotazamia, Vita ya Ulimwengu ya Pili haingekuwa Har–Magedoni mwishowe bali kwamba ni lazima kwanza yule ‘mnyama wa amani’ atokea tena kutoka lile shimo refu sana la kutokutenda ili atawale muda wa “saa moja” ya mfano pamoja na mamlaka za kisiasa.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki