Maelezo ya Chini
a Kati ya marabi, kulikuwa na ubishi mkubwa wa kidini juu ya hesabu ya wenye kuokolewa. Kitabu cha marejezo ya Biblia kinasema hivi: “Kati ya dhana za Kiyahudi ambazo Marabi walikuwa nazo, moja ilikuwa ni kujaribu kuweka hesabu ya wenye kuokolewa kwa kujumlisha tarakimu zilizosimamiwa na herufi za andiko hili na hili.”