Maelezo ya Chini
a Katika Maandiko ya Kiebrania, Yehova anatajwa mara 48 kuwa “Mwenye Nguvu Zote” (Shad·daiʹ), kutia ndani mara 7 kuwa “Mungu Mwenye Nguvu Zote” (El Shad·daiʹ), na katika Maandiko ya Kigiriki mara 10 kuwa “Mwenye Nguvu Zote” (Pan·to·kraʹtor).