Maelezo ya Chini
b Baraza ni mkutano wa maaskofu na viongozi wengine wa Kanisa Katoliki ili kufikiria na kupokeza maamuzi juu ya mafundisho, nidhamu, na mambo mengine. Katika muda wote wa historia kulikuwa na mabaraza kadha ya namna hiyo ambayo yanatambuliwa na Kanisa Katoliki la Roma.