Maelezo ya Chini
b Ili upate madokezo juu ya jinsi ya kusaidia Wakristo wanaotaabishwa na hali ya kushuka moyo, ona makala “Mseme kwa Kuzifariji Nafsi Zilizoshuka Moyo” katika Mnara wa Mlinzi wa Machi 1, 1983, na “Ulimi Ulioelimishwa—‘Kuwatia Moyo Waliochoka’” katika toleo la Juni 1, 1982 la Kiingereza.