Maelezo ya Chini
a Asher Goldenberg anaandika hivi katika kichapo Metre and Its Significance in the Bible (Kiebrania) kwamba katika kipindi cha Hekalu la Kwanza, kwa ujumla majina maalum yalipewa umbo mrefu zaidi, yakiunganisha sehemu ya Tetragramatoni, kuonyesha ushikamanifu kwa Yehova. Yeye anatoa maelezo kwamba “katika vitabu vitano vya Musa, Musa analibadili jina la Hoshe ben-Nun liwe ‘Yehoshua’ anapomtuma aende kupeleleza; hivyo alitangulia kuona kwamba [Yoshua] hangemsaliti [Yehova].”