Maelezo ya Chini
a Kwa mazungumzo yenye mambo mengi ya daraka la Yesu Kristo akiwa yule “Baba wa Milele,” ona sura ya 20 ya kitabu Usalama Ulimwenguni Pote chini ya “Mwana-mfalme wa Amani, kilichochapishwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc.
Maswali Katika Muhtasari
◻ Jina la cheo“Mungu Mwenye Nguvu” linatumikaje kwa Yesu Kristo?
◻ Yesu amekuwa akitumikiaje akiwa “Mshauri wa Ajabu”?
◻ Ni ubaba wa nani tunaopaswa kuutafuta, na wa nani tunaopaswa kukataa?
◻ Kwa kweli Umoja wa Mataifa ni nini?
◻ Ni nini kitakachoupata mpango wa hila wa leo dhidi ya agano la Ufalme na Mrithi walo, yule “Mwana-mfalme wa Amani”?