Maelezo ya Chini
a Kulingana na Talmud, walimu wa kale walishauri hivi: “Acheni mtu ye yote asiongee na mwanamke katika barabara za mji.” Ikiwa desturi hii ilienea katika siku za Yesu, inaweza kuwa ndiyo sababu wanafunzi wake “wakastaajabu kwa sababu alikuwa akisema na mwanamke.”—Yohana 4:27.