Maelezo ya Chini
a Katika Palestina, zabibu zilivunwa katika sehemu ya mwisho-mwisho wa kiangazi. Hata hivyo, sikukuu ya Kupitwa ya Kiyahudi na Chakula cha Bwana cha Jioni, vilitukia katika masika—miezi sita baadaye. Bila kuwa na njia fulani ya kuhifadhia, maji ya zabibu kwa asili yangechacha.