Maelezo ya Chini
b Toleo la Mnara wa Mlinzi la Mei 1, 1972, lilifafanua jambo hili hata zaidi, likisema: “Bila shaka, si mzee mmoja, mwangalizi au mchungaji mmoja, bali ‘baraza ya wazee,’ yote ndiyo Bwana Yesu Kristo aliyetukuzwa, aliiita ‘malaika’ aliyefananishwa na nyota ya mbinguni. . . . ‘Baraza la wazee’ kule Efeso ilipaswa itende kama nyota katika kutoa nuru ya kimbinguni, ya kiroho juu ya kundi ambalo juu yake roho takatifu ilikuwa imewafanya kuwa wachungaji.”