Maelezo ya Chini
a Dakt. E. H. Plumptre anaeleza: “Ile [fasiri katika King James Version] inadokeza wazo la mazungumzo kati ya watu wa cheo kimoja. Badala ya hivyo neno la Kiebrania linagusia maana ya mmoja ambaye anatoa amri-mkataa ya kimamlaka, kama lile lenye kutoka kwa hakimu kuambia mshtakiwa.”