Maelezo ya Chini
a Tafsiri fulani za Biblia (Mathalani, King James Version, Douay, The Comprehensive Bible) hutumia neno “ushirikina” kwenye Matendo 25:19 kufasiri neno la Kigiriki dei·si·dai·mo·niʹas, kumaanisha “hofu ya mashetani.” Ona pia New World Translation Reference Bible maelezo ya chini.