Maelezo ya Chini
c Hilo lilikuwa moja ya yale mapigano ya kukata maneno yaliyofanywa kule Megido, jambo ambalo linaongoza mahali hapo patumiwe kama mfano wa pigano la mwisho kabisa la Mungu la kukata maneno dhidi ya mataifa ya kibinadamu yenye uasi, katika Har–Magedoni, au Armagedoni.—Ufunuo 16:16.