Maelezo ya Chini
a ‘Kwa habari ya tarehe, sisi tunakubali ile orodha ya tarehe inayoonyeshwa na Biblia, ambayo inatofautiana na tarehe za kale zinazotegemea vyanzo vya kilimwengu visivyotegemeka kwa kadiri hiyo. Kwa zungumzo lenye maelezo marefu juu ya orodha ya tarehe za Kibiblia, ona Aid to Bible Understanding, kurasa 322-48 hasa kile kisehemu juu ya Ashuru, kurasa 325-6.