Maelezo ya Chini
a Matukio ya kishindo kingi ambayo yalifuata mgawanyiko wa milki ya Aleksanda yalitabiriwa katika unabii wa “mfalme wa kaskazini” na “mfalme wa kusini.” Unabii huu, ulioandikwa katika Danieli sura ya 11, unazungumziwa kirefu katika kurasa 229-48 za kitabu “Your Will Be Done on Earth, “chenye kutangazwa na Watchtower Bible and Tract Society of New York, Inc.