Maelezo ya Chini
b “Wazo la kufanya maagano lilikuwa sehemu maalumu ya dini ya Israeli, ikiwa ndiyo dini ya pekee iliyodai ushikamanifu kwa kitu kimoja tu na kuzuia uwezekano wa kuonyesha ushikamanifu kwa vitu viwili au vingi kama ule ulioruhusiwa katika dini nyinginezo.”—Theological Dictionary of the Old Testament, Buku 2, ukurasa 278.