Maelezo ya Chini
c Akitoa maelezo juu ya kusanyiko hili, Papa Paul wa 6 alisema: “Ni sawasawa na inafaa kweli kweli kwamba kusanyiko la kidini kwa ajili ya amani limetiwa miongoni mwa sherehe za kukumbuka kutiwa sahihi kwa Mkataba wa Umoja wa Mataifa miaka ishirini iliyopita.”