Maelezo ya Chini
a Kuhusu wazo ilo hilo, mtunga zaburi anaandika hivi juu ya hali iliyopo wakati huo kabla ya Mungu kuchukua hatua yoyote: βNa [Mungu] akaendelea kukumbuka kwamba [Waisraeli] walikuwa mnofu, kwamba roho [au kani ya uhai kutoka kwa Mungu] inaenda ikitokeza mbele na hairudi.βββZaburi 78:39, NW.