Maelezo ya Chini
a Kwa kweli, maneno ya Kiebrania kwa ‘wajengao’ (mstari 1) na “wana” (mstari 3) yafikiriwa yote mawili kuwa yametokana na shina linalomaanisha “kujenga.” Zaidi ya hilo, katika Kiebrania neno “nyumba” laweza kurejezea ama “mahali pa kukaa” au “jamaa.” (2 Samweli 7:11, 16; Mika 1:5) Hivyo, kujenga nyumba kwakamatanishwa na kukuza jamaa. Baraka ya Yehova yahitajiwa sana katika shughuli zote mbili.