Maelezo ya Chini
a Hata leo haishauriki kusikiliza na kueneza hekaya zenye kuwasha sana hisia za moyoni (ambazo mara nyingi huwa hazina msingi wa uhakika wowote) kuhusu mambo ambayo washirika wa Baraza Linaloongoza au wawakilishi wao watajwa kuwa wamesema au kufanya.