Maelezo ya Chini
b “Katika namna iliyopanuliwa, kanuni hii ingeweza kuelezwa hivi: ‘Msifanyize uhusiano wowote, uwe ni wa muda tu au ni wa kudumu, pamoja na wasioamini ambao ungeongoza kwenye kuridhiana msimamo wa viwango vya Kikristo au kuhatarisha upatani wa ushahidi wa Kikristo. Na kwa nini kuwe na utengano huo? Kwa sababu asiyeamini hashiriki viwango, maoni, au miradi mimoja na Mkristo.’”—The Expositor’s Bible Commentary, Buku la 10, ukurasa wa 359.