Maelezo ya Chini
b Tena na tena, wale waliokana Yesu na Yehova kwa kuhofu wanadamu hawakupata upendeleo wowote kutoka kwenye ulimwengu. Kwa kielelezo, ona Mnara wa Mlinzi wa Mei 1, 1989, ukurasa 12; 1982 Yearbook, ukurasa 168; 1917 Yearbook, kurasa 174-6; 1974 Yearbook, kurasa 149-50, 177-8 (Mnara wa Mlinzi wa Septemba 15, 1975 ukurasa 428 na Novemba 1, 1975, kurasa 503, 504). Kwa upande ule mwingine, hata wenye kuazimia kuwa wapinzani wa habari njema hutazamia kwamba Mashahidi hawatakana Yesu na Yehova. (1989 Yearbook, kurasa 116-18) Ona pia Mathayo 10:39 na Luka 12:4.