Maelezo ya Chini
a “Katika usiku ambao Yeye alitolewa, Bwana Yesu alichukua mkate; akitoa shukrani, Yeye akauvunja na kusema: ‘Huu ni mwili wangu ambao ni kwa ajili ya nyinyi; fanyeni hivi kuwa ukumbusho wangu.’ Vivyo hivyo Yeye alichukua kikombe wakati chajio kilipokwisha, akasema: ‘Kikombe hiki ndilo agano jipya, lenye kutiwa muhuri kwa damu yangu; kila wakati mkinywapo, fanyeni hivyo kuwa ukumbusho wangu.’”—An Expanded Paraphrase of the Epistles of Paul, ya F. F. Bruce.