Maelezo ya Chini
b Kwenye mahali pamoja pa mwoteo mzuri karibu na malango ya Masada, vijipanda 11 vya vyungu vilipatikana, kila kimoja kikiwa kimeandikwa jina fupi la ubandiko la Kiebrania. Wanacho kadhaa hudokeza kwamba huenda hizo zikawa ni zile kura ambazo hurejezewa na Yosefo. Kimoja kiliandikwa “Ben Ya’ir,” kumaanisha “mwana wa Yairo.” “Mgunduo wa Yadini wa kura, kutia na moja yenye jina Ben Yairi, ni uhakikisho wa kiajabu juu ya usimulizi wa Yosefo,” ataarifu Louis Feldman katika Josephus and Modern Scholarship.