Maelezo ya Chini
c C. T. Russell aliandika makala yenye kichwa “Nyakati za Wasio Wayahudi: Zaisha Lini?,” ambayo ilichapishwa katika gazeti Bible Examiner, Oktoba 1876. Katika ukurasa wa 27, makala hiyo ilisema: “Zile nyakati saba zitaisha katika A.D. 1914.”