Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a “Watoza kodi walichukiwa na wenyeji Wayahudi wa Palestina hasa kwa sababu nyingi: (1) walikusanya pesa kwa ajili ya mamlaka ya kigeni ambayo ilimiliki bara la Israeli, hivyo kwa njia isiyo wazi, wakiwa wanaunga mkono tendo lao ovu; (2) walikuwa na sifa mbaya ya kuwa na tabia mbaya, wakiendelea kuwa matajiri kwa hasara ya wengine wa watu wao wenyewe; na (3) kazi yao iliwahusisha kwa kawaida na Wasio Wayahudi, ikiwafanya kutokuwa safi kulingana na kanuni za kidini. Dharau kwa watoza kodi inapatikana katika A[gano] J[ipya] na vichapo vya warabi pia . . . Kulingana na hivi vilivyotajwa sasa, chuki ingeenezwa hata kwa familia ya mtoza kodi.”—The International Standard Bible Encyclopedia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki