Maelezo ya Chini
b Ikiwa katika nyumba ya Kikristo kuna mtu wa ukoo ambaye ametengwa na ushirika, yeye bado angekuwa sehemu ya kawaida ya shughuli na utendaji wa kinyumbani wa kila siku. Hiyo ingetia ndani kuwa hapo wakati mambo ya kiroho yanaangaliwa na familia nzima.—Ona Mnara wa Mlinzi wa Novemba 15, 1988, kurasa 19-20.