Maelezo ya Chini
a Amri hiyo ilimalizia hivi: “Ikiwa kwa uangalifu nyinyi mnajiepusha wenyewe na vitu hivyo, nyinyi mtafanikiwa. Afya njema kwenu nyinyi!” (Matendo 15:29, NW) Elezo “Afya njema kwenu nyinyi” halikuwa ahadi ya kwamba, ‘Mkishika mwiko wa damu au wa uasherati, nyinyi mtakuwa na afya nzuri zaidi.’ Ulikuwa ni umalizio tu kwa barua hiyo, kama vile, ‘Bakini salama salimini.’