Maelezo ya Chini
a Profesa Paul Haupt aeleza hivi: ‘Kati ya vitu vya enzi ya katikati vilivyokusanywa, pembe za virafu au pembe za nyangumi wadogo (waliotiwa pia samaki wenye pembe moja au nyangumi wenye pembe moja) zilionwa kuwa pembe za farasi mwenye pembe moja.’