Maelezo ya Chini
a Kulingana na Theological Wordbook of the Old Testament, kilichohaririwa na Harris, Archer, na Waltke, msingi wa lugha ya awali ya neno lililotafsiriwa “uonevu” huhusiana na “kulemezwa, kukanyagwa-kanyagwa kwa miguu, na kupondwa kwa wale wenye cheo cha chini.”