Maelezo ya Chini
a Ufafanuzi mmoja wa Biblia wa 1874 humnukuu Andrew A. Bonar kuwa akisema: “Sifa ya Mungu ya pekee, jina lake tukufu, limefunuliwa kwa wingi, sana sana, katika mwisho-mwisho wa zaburi ya mwisho [ya 85]. Hiyo yaweza kuwa sababu kwa nini inafuatwa na nyingine, ‘Sala ya Daudi,’ ambayo imejaa vivyo hivyo na sifa ya Yehova. Habari ya msingi ya Zaburi hii [ya 86] ni jina la Yehova.”