Maelezo ya Chini
a Kamusi ya Kiswahili Sanifu yafasili “talasimu” kuwa “kipande cha karatasi au ngozi kilicho na maandishi maalumu ambacho huangikwa ukutani au mlangoni [au kinachovaliwa] na ambacho huaminiwa na baadhi ya watu kuwa ni kinga ya madhara.”