Maelezo ya Chini
b Toleo la Novemba 1992 la World Press Review lilikazia makala kutoka katika The Toronto Star iliyosema hivi: “Katika miaka kadhaa ambayo imepita, Warusi wameona njozi nyingi za historia ya nchi yao ambazo wakati mmoja hazikuweza kukanushwa, zikimumunyika mbele ya mambo ya hakika. Lakini kule kufunuliwa kwa ushirikiano wa kanisa pamoja na utawala wa kikomunisti kwawakilisha pigo lenye kudhoofisha zaidi.”