Maelezo ya Chini
b Kwa njia nyingine, ile habari ‘itokayo kaskazini’ ingeweza kuthibitika kuwa yatokana na Yehova, kwa kupatana na maneno yake kwa Gogu: “Nami nitakugeuza na kutia kulabu katika mataya yako, nami nitakutoa.” “Nami . . . nitakupandisha toka pande za mwisho za kaskazini; nami nitakuleta juu ya milima ya Israeli.”—Ezekieli 38:4; 39:2; linganisha Zaburi 48:2.