Maelezo ya Chini
b Kwa miaka mingi Mnara wa Mlinzi lilionwa kuwa gazeti ya Wakristo wapakwa hasa. Hata hivyo, kuanzia 1935, mkazo wenye kuongezeka uliwekwa juu ya kutia moyo ule “umati mkubwa,” ambao tumaini lao ni uhai wa milele duniani, upokee na kusoma Mnara wa Mlinzi. (Ufunuo 7:9, NW) Miaka michache baadaye, katika 1940, Mnara wa Mlinzi lilitolewa kwa ukawaida kwa watu barabarani. Baadaye, mwenezo uliongezeka kwa haraka.