Maelezo ya Chini
d Yale ambayo Yesu alisema juu ya “dhiki kubwa” na “dhiki” katika matumizi ya kwanza yalikuwa kuharibiwa kwa mfumo wa Kiyahudi. Lakini katika mistari ihusuyo siku zetu pekee, yeye alitumia kibainishi bayana “the,” (katika Kiingereza) akisema “[the, au ile] dhiki.” (Mathayo 24:21, 29; Marko 13:19, 24) Ufunuo 7:14 liliita tukio hilo la wakati ujao “dhiki ile iliyo kuu,” kihalisi “ile dhiki ile kubwa.”