Maelezo ya Chini
a Kwa kawaida Biblia hutumia kitenzi cha Kiebrania cha·taʼʹ na kitenzi cha Kigiriki ha·mar·taʹno kumaanisha “dhambi.” Maneno hayo yote mawili yamaanisha “kukosa,” katika maana ya kukosa au kutofikia mradi, lengo, au shabaha.
a Kwa kawaida Biblia hutumia kitenzi cha Kiebrania cha·taʼʹ na kitenzi cha Kigiriki ha·mar·taʹno kumaanisha “dhambi.” Maneno hayo yote mawili yamaanisha “kukosa,” katika maana ya kukosa au kutofikia mradi, lengo, au shabaha.