Maelezo ya Chini
b The Catholic Encyclopedia yasema: “Hii ‘haki ya kimungu ya wafalme’ (jambo tofauti sana na fundisho la kwamba mamlaka yote, iwe ni ya mfalme au ya jamhuri, ni kutoka kwa Mungu), haijapata kamwe kuungwa mkono na Kanisa Katoliki. Katika wakati wa Mapinduzi ya kidini dhana hiyo ilikuja kupinga sana Ukatoliki, huku maliki kama Henry 8, na James 1, wa Uingereza, wakidai kuwa na mamlaka kamili ya kiroho na ya kiraia.”