Maelezo ya Chini
a Uthibitisho wa Kibiblia na kihistoria waonyesha kwamba Yesu Kristo alizaliwa katika mwaka wa 2 B.C. Kwa hiyo, kwa sababu ya usahihi wengi hupendelea kutumia mitajo C.E. (W.K., unaomaanisha Wakati wa Kawaida) na B.C.E. (K.W.K., unaomaanisha Kabla ya Wakati wa Kawaida), na hivi ndivyo tarehe zinaonyeshwa katika vichapo vya Watch Tower Society.