Maelezo ya Chini
a Kitabu New Testament Words chaeleza hivi: “Mtu ambaye ni epieikēs [mwenye kukubali sababu] ajua kwamba kuna nyakati ambazo jambo laweza kuwa haki kabisa kisheria na liwe kosa kabisa kiadili. Mtu ambaye ni epieikēs ajua wakati wa kutoshikilia sana sheria kwa sababu ya uvutano wa kani ya juu zaidi ya sheria.”